Picha chini ni Mashabiki wa Timu ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa CCM
Kambarage Mjini Shinyanga wakifurahia Kagera Sugar kuwanyuka Mwadui FC
bao 2-0.
VPL,
Ligi Kuu Vodacom, Leo imefikia tamati kwa Msimu wa 2015/16 kwa Mechi
zake za mwisho huku Bingwa akiwa amepatikana mapema baada ya Yanga
kutetea vyema Taji lao na kuacha kimbembe kwa hasa nani atashuka Daraja
kuungana na Coastal Union.
Matokeo ya hii Leo yamezishusha Timu zote
za Tanga, African Sports na Mgambo JKT, ambao sasa wataungana na
mwenzao wa Tanga Coastal Union kucheza Daraja la Kwanza Msimu ujao.
Timu 3 zilizopanda Daraja na kuchukua nafasi ya hizo 3 ni Ruvu Shooting, Mbao FC na African Lyon.
LIGI KUU VODACOM
MATOKEO:
Jumapili Mei 22
Mbeya City 0 vs Ndanda FC 0
Coastal Union 0 vs Tanzania Prisons 2
Simba 1 vs JKT Ruvu 2
Toto Africans 0 vs Stand United 1
Azam FC 1 vs Mgambo JKT 1
Kagera Sugar 2 vs Mwadui FC 0
Mtibwa Sugar 2 vs African Sports 0
Majimaji 2 vs Yanga 2
Timu 3 zilizopanda Daraja na kuchukua nafasi ya hizo 3 ni Ruvu Shooting, Mbao FC na African Lyon.

MATOKEO:
Jumapili Mei 22
Mbeya City 0 vs Ndanda FC 0
Coastal Union 0 vs Tanzania Prisons 2
Simba 1 vs JKT Ruvu 2
Toto Africans 0 vs Stand United 1
Azam FC 1 vs Mgambo JKT 1
Kagera Sugar 2 vs Mwadui FC 0
Mtibwa Sugar 2 vs African Sports 0
Majimaji 2 vs Yanga 2
No comments:
Post a Comment