
Mchezaji huyo bora aliyewahi kushinda taji la Ballon d'Or anauguza jeraha la paja ambalo lilimlazimu kukosa mechi tatu mnamo mwezi Aprili.
Alitoka nje baada ya kipindi cha kwanza cha mechi ya mwisho ya la Liga.
Real Madrid itakabiliana na Atletico Madrid mjini Milan wikendi hii katika marudio ya mechi ya fainali ya 2014 ambapo Real iliibuka mshindi.

No comments:
Post a Comment