Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, May 9, 2016

BAYERN MUNICH MABINGWA BUNDESLIGA TENA, WATWAA UBINGWA WA 4 MFULULIZO

Bayern Munich Leo wametwaa Taji lao la 25 la Bundesliga huku wakiwa na Mechi 1 mkononi baada ya kushinda Ugenini Bao 2-1 walipocheza na Ingolstadt.
Huu ni Ubingwa wa 4 mfululizo wa Bayern na hii imeweka Historia mpya huku Germany kwa Bayern kuwa Timu ya kwanza kutwaa Ubingwa mara 4 mfululizo.
Bao za Leo za Bayern zilifungwa na Robert Lewandowski na kumfanya aongoze Ufungaji Bora akiwa na Bao 29.

Moja ya Bao za Lewandowski ilikuwa ni Penati na Ingolstadt nao walifunga Bao lao kwa Penati ya Moritz Hartmann.

No comments:

Post a Comment