
Xhaka, mwenye Miaka 23, tayari yupo Jijini London kukamilisha makubaliano ya maslahi yake binafsi pamoja na upimwaji afya yake ambao umepangwa kufanyika Wikiendi hii.
Kutua kwa Granit Xhaka kutaimarisha safu ya Kiungo ya Arsenal ambayo sasa itaondokewa na of Mikel Arteta, Tomas Rosicky na, pengine, Mathieu Flamini.

Xhaka alitua Borussia Monchengladbach Miaka Minne iliyopita baada ya kung’ara mno akiwa na Klabu ya Nchini kwake FC Basel.
No comments:
Post a Comment