
Oxlade-Chamberlain, mwenye Miaka 22, alilazimika kuondoka Uwanjani Emirates mara baada ya kufungwa na Barca huku akitumia msaada wa Magongo kutembelea.
Arsenal, ambao walichapwa 3-2 na Man United Jumapili iliyopita huko Old Trafford kwenye Ligi Kuu England, Jumatano Usiku wako kwao Emirates kucheza na Swansea City Mechi ya Ligi.

Wakitoka kwa Swansea City, Arsenal wana kibarua kigumu huko White Hart Lane kwenye Dabi ya London ya Kaskazini dhidi ya Mahasimu wao wa Jadi, Tottenham hapo Jumamosi Machi 5.
No comments:
Post a Comment