
Barca waliofunga bao ni
Lionel Messi 36'
Luis Suárez 49'
Luis Suárez 68.

Hili ni Kombe la 5 kwa Barca kutwaa kwa 2015 baada ya kuyazoa La Liga, UEFA CHAMPIONS LIGI, Copa del Rey na lile la Ulaya la Super Cup na hili ni Kombe lao 3 la Mashindano ya FIFA ya Kombe la Dunia kwa Klabu.
Bao za Barca zilifungwa na Lionel Messi, na kudumu hadi Haftaimu, na nyingine za Kipindi cha Pili za Luis Suarez.
Katika Mechi ya awali ya kusaka Mshindi wa 3, Wenyeji Sanfrecce Hiroshima walitoka nyuma na kuipiga Guangzhou Evergrande Bao 2-1.
Magoli ya Sanfrecce Hiroshima yalifungwa na Douglas katika Dakika za 70 na 83 wakati lile la Guangzhou Evergrande lilipachikwa katika Dakika ya 4 na Paulinho.
No comments:
Post a Comment