Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, September 23, 2015

KARUMA KUHUDHURIA KONGAMANO LA FIFA

 Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu wa Wanawake nchini (TWFA), Amina Karuma anatarajiwa kuhudhuria kuhudhuria kongamano la viongozi wa soka la wanawake duniania litakalofanyika Zurich nchini Uswisi Septemba 28 – 02 Oktoba, 2015.
Kongamano hilo linashirkisha viongozi 35 wanawake wa mpira wa miguu kutoka semehu mbalimbali duniani ikiwa ni muendelezo wa kongamano liliofanyika mwezi Machi mwaka huu Vancouver Canada wakati wa fainali za kombe la Dunia la Wanawake.
Programu hiyo ya viongozi wa wanawake ni sehemu ya mikakati ya FIFA ya kuongeza idadi ya viongozi wengi wa soka wanawake duniani katika utawala wa mpira wa miguu wa wanawake.

No comments:

Post a Comment