Katika 10 Bora, Mabingwa wa Dunia Germany wameshuka Nafasi 1 na kushika Nafasi ya 3 huku
Timu ya juu kabisa toka Barani Afrika ni Algeria ambayo ipo pale pale Nafasi ya 19 na kufuatiwa na Ivory Coast waliobakia Nafasi ya 21.

1. Argentina
2. Belgium
3. Germany
4. Colombia
5. Brazil
6. Portugal
7. Romania
8. England
9. Wales
10. Chile
No comments:
Post a Comment