Nyota wa Cavaliers Lebron James aliiongoza timu yake iliojaa majeruhi baada ya kujipatia pointi 32.''Hiki ni kitu maalum.Kuanzia mwanzo wa msimu huu hiki ndicho tulichotarajia'',alisema Curry. Mchezaji wa Golden State Warriors
Steve Kerr alikuwa kocha wa kwanza mpya kushinda taji hilo tangu Pat Riley alipoifunza Los Lakers mwaka 1982.
Mchezaji bora Stephen Curry

No comments:
Post a Comment