Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, November 16, 2014

EQUITORIAL GUINEA KUANDAA MICHUANO YA MATAIFA YA AFRIKA 2015.

Rais wa shirikisho la soka barani afrika Issa Hayatou
Taifa la Equitorial Guinea ndilo litakaloandaa michuano ya dimba la mataifa ya Afrika mwaka 2015.
Kulingana na shirikisho la soka barani Afrika, taifa hilo limetajwa baada ya Morrocco kukataa kuandaa michezo hiyo kutokana na hofu ya kusambaa kwa ugonjwa wa Ebola nchini humo.
Morrocco ilikuwa imeiomba CAF kuahirisha dimba hilo la January 17 hadi Feruary 8.
CAF vilevile imeipiga marufuku Morrocco kushiriki katika dimba hilo ambalo sasa litaandaliwa na taifa lililoandaa kombe hilo na Gabon mwaka 2012.
Kombe la michuano ya bara Afrika
Equitorial Guinea sasa itachukua jukumu lote la kuandaa michuano hiyo yenye mataifa 16.
CAF imetangaza kuwa mechi hizo zitachezwa katika miji minne ikiwemo Malabo,Mongomo na Ebebiyin. Droo ya mechi hizo itafanyika mjini Malabo tarahe 3 mwezi Disemba.

Haijabainika iwapo mwenyeji huyo mpya atashiriki katika dimba hilo kwa kuwa timu hiyo ilipigwa marufuku mwezi Julai kwa kuchezesha mchezaji asiyetakikana katika mechi ya kufuzu kwa dimba hilo dhidi ya Mauritania mnamo mwezi May 17.

A file picture taken on October 29, 2011 shows Equatorial Guinea President Teodoro Obiang Nguema holding the trophy of the African Nations football Cup during the draw ceremony in Malabo. The African Cup of Nations (CAN 2015) will be held in Equatorial Guinea an announcement was made on November 14,2014.


AFCON 2015
MECHI ZA MAKUNDI

RATIBA/MATOKEO:
Ijumaa Novemba 14

Sierra Leone 1 vs Ivory Coast 5
Botswana 0 vs Tunisia 0

Jumamosi Novemba 15
15:30 Malawi v Mali
16:00 South Africa v Sudan
16:00 Uganda v Ghana
16:30 Togo v Guinea
17:00 Cape Verde v Niger
17:00 Cameroon v DR Congo
17:00 Lesotho v Burkina Faso
17:00 Mozambique v Zambia
17:30 Congo v Nigeria
18:00 Angola v Gabon
20:00 Egypt v Senegal
22:30 Algeria v Ethiopia

Jumatano Novemba 19
16:00 Senegal v Botswana
17:00 Ethiopia v Lesotho
17:00 DR Congo v Sierra Leone
17:00 Gabon v Lesotho
1700 Ivory Coast v Cameroon
1800 Mali v Algeria
1900 Niger v Mozambique
1900 Ghana v Togo
1900 Guinea v Uganda [Kuchezwa Casablanca, Morocco]
1900 Zambia v Cape Verde
2000 Nigeria v South Africa
2000 Sudan v Congo
2030 Tunisia v Egypt
2100 Burkina Faso v Angola

No comments:

Post a Comment