Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, June 7, 2014

AMBASIA MALIY ATWAA TAJI LA MISS TABATA 2014


Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akitabasamu baada ya kutangazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata.

Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akipunga mkono kwa mashabiki wake muda mfupi baada ya kutawazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata, Shindano hilo lilifanyika kwenye Ukumbi wa Da'west Park,Tabata jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia jumamosi.Wengine pichani ni Mshindi wa Pili wa shindano hilo, Faudhia Feka (kulia) pamoja na Mshindi wa Tatu, Ramta Mkadara .

Miss Tabata aliemaliza muda wake, Doris Molel (alieketi) akisuburi kutangazwa kwa mrithi wake.

Warembo walioingia hatua ya tano bora katika Shindano la Miss Tabata 2013

Kumi Bora.


Warembo wakitoa burudani


Bendi ya Twanga Pepeta ikitoa burudani kwenye shindano la miss Tabata lililofanyika kwenye usiku wa kuamkia leo

Mshereheshaji akizungumza jambo

Warembo wakiwa wamevaa vazi la ufukweni


Warembo wakitoa burudani



Majaji wakifanalaizi mambo.

Jaji wa Missi Tabata 2014, Le Mutuzzz akiwataja warmbo kumi bora na pia aliwataja tano bora

Washindi wa Miss Ukonga nao walikuja kuonesha ya kwao

Maswali yakiulizwa kwa Warembo

Burudani ikiendelea

Wadau waliokuwa kwenye miss Tabata

Wakuu wa Kamati ya Miss Tanzania wakifuatilia kwa makini shindano la Miss Tabata.

Miss Talent 2014 alichukua Faudhia Feka

Miss Discipline alichukua, Nuru Omary

Miss Tabata aliemaliza muda wake, Doris Molel (alieketi) akisuburi kutangazwa kwa mrithi wake.

Aliyekuwa Miss Tabata 2013, Doris Molel akimvisha Sasha mshindi wa Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy.

Aliyekuwa Miss Tabata 2013, Doris Molel akimvisha taji mshindi wa Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy.

Wadau waliofika kutizama Miss Tabata 2014
PICHA NA PAMOJA BLOG

No comments:

Post a Comment