Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, February 24, 2014

MECHI ZA MABORESHO TAIFA STARS

Mechi za mpango wa kuboresha Taifa Stars kati ya mikoa na mikoa wiki hii itakuwa kama ifuatavyo;
Februari 25 Njombe vs Ruvuma (Uwanja wa Njombe)
                  Kinondoni vs Ilala (Uwanja wa Karume)
Februari 26 Morogoro vs Pwani (Uwanja wa Jamhuri)
                  Geita vs Kagera (Uwanja wa Geita)
                  Kilimanjaro vs Tanga (Uwanja wa Ushirika)
                  Iringa vs Mbeya (Uwanja wa Samora)
                  Shinyanga vs Simiyu (Uwanja wa Kambarage)
                  Lindi vs Mtwara (Uwanja wa Ilulu)
Februari 27 Temeke vs Kinondoni (Uwanja wa Karume)


No comments:

Post a Comment