Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, February 22, 2014

JOHN TERRY AIWEKA CHELSEA KILELENI


Nahodha John Terry hii leo ameipa ushindi Chlesea kwa bao pekee la dakika ya mwisho dhidi ya Everton na kuendelea kujidhatiti zaid kileleni mwa msimamo wa ligi kwa timu yake katika Barclays Premier League.

Ilikuwa ikidhaniwa pengine kikosi cha Jose Mourinho kingeambulia alama moja kwani mchezo ulikwenda bila mabao mpaka pale Phil Jagielka alipomfanyia madhambi Ramires.
Frank Lampard alipiga -free-kick- iliyompita Tim Howard.

Chelsea sasa itakuwa inajipanga kwa safari ya kuwafuata Galatasaray kuelekea katika mchezo wa hatua ya mtoano ya 16 bora ya michuano Champions League mchezo wa kwanza dhidi ya kikosi kikisi cha Didier Drogba mchezo ambao utapigwa Jumatano.
Deadly delivery: Frank Lampard whips in the decisive free-kick into the danger zone
Frank Lampard akipiga mpira wa free-kick.
Quick off the mark: John Terry reacts first as Slyvain Distin, Leighton Baines and Phil Jagielka can only watch
The late show: John Terry slides in front of Tim Howard as Chelsea seal a dramatic late win
Dramatic finish: Tim Howard deflected Frank Lampard's free-kick into his own net under pressure from John Terry

MATCH FACTS

CHELSEA (4-2-3-1): Cech 7: Ivanovic 7, Terry 8, Cahill 8, Azpilicueta 7: Matic 7, Lampard 7: Willian 5 (Torres 62, 4.5), Hazard 5.5, Oscar 5 (Ramires 46, 6): Eto’o 6 (Schurrle 69, 6). Subs not used: Schwarzer, Cole, Salah, Ba.
Booked: Oscar.
Goal: Howard (OG 90+3mins)
EVERTON (4-2-3-1): Howard 7: Coleman 7, Jagielka 7, Distin 8.5, Baines 7.5: Barry 7, McCarthy 7: Osman 7.5 (Barkley 60, 5.5), Naismith 7, Pienaar 6.5 (McGeady 80, 5): Mirallas 7.5 (Deulofeu 75, 6). Subs not used: Robles, Hibbert, McGeady, Deulofeu, Garbutt, Stones.
Booked: Barry, Jagielka.
Attendance: 41,850
Referee: Lee Probert
Man of the Match: Sylvain Distin

No comments:

Post a Comment