Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, January 14, 2014

RATIBA NA MATOKEO YA CHAN 2014, KUNDI C: GHANA, LIBYA ZAPETA BAADA YA KUSHINDA!! LEO JUMANNE NI CONGO DR vs MAURITANIA, GABON vs BURUNDI


KUNDI C la Orange CHAN 2014, Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza ndani ya Nchi zao, zimecheza Mechi zake kwa Ghana kuifunga Congo 1-0 na Libya kuibamiza Ethiopia Bao 2-0.
Shujaa wa Ghana ni Theophilus Anobaah aliefunga Bao katika Dakika ya 35.
Katika Mechi iliyofuata ya Kundi C, Libya iliichapa Ethiopia Bao 2-0 kwa Bao z a Elmutasem Abushnaf kwenye Dakika ya 4 na Bao la Dakika ya 83 la Abdulsalam Omar.
Jumanne leo zipo Mechi mbili za Kundi D kati ya Congo DR v Mauritania na Gabon v Burundi.
CHAN 2014
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi Januari 11
South Africa 3 v  Mozambique 1
Mali 2  v Nigeria 1
Jumapili Januari 12
Zimbabwe 0 v Morocco 0
Uganda 2 v Burkina Faso 1
Jumatatu Januari 13
Ghana 1 v Congo 0
Libya 2 v Ethiopia 0
Jumanne Januari 14
18:00 Congo DR v Mauritania [Peter Mokaba Stadium]
21:00 Gabon v Burundi [Peter Mokaba Stadium]
Jumatano Januari 15
18:00 South Africa v Mali [Cape Town Stadium]
21:00 Nigeria v Mozambique [Cape Town Stadium]
Alhamisi Januari 16
18:00 Zimbabwe v Uganda [Athlone Stadium]
21:00 Burkina Faso v Morocco [Athlone Stadium]
Ijumaa Januari 17
1800 Ghana v Libya [Free State Stadium]
2100 Ethiopia v Congo [Free State Stadium]
Jumamosi Januari 18
18:00 Congo DR v Gabon [Peter Mokaba Stadium]
21:00 Burundi v Mauritania [Peter Mokaba Stadium]
Jumapili Januari 19
20:00 Nigeria v South Africa [Cape Town Stadium]
20:00 Mozambique v Mali [Athlone Stadium]
Jumatatu Januari 20
20:00 Burkina Faso v Zimbabwe [Athlone Stadium]
20:00 Morocco v Uganda [Cape Town Stadium]
Jumanne Januari 21
20:00 Ethiopia v Ghana [Free State Stadium]
20:00 Congo v Libya [Peter Mokaba Stadium]
Jumatano Januari 22
20:00 Burundi v Congo DR [Peter Mokaba Stadium]
20:00 Mauritania v Gabon [Free State Stadium]
ROBO FAINALI
Jumamosi Januari 25
18:00 [Mechi Na 26] Mshindi Kundi B v Wa Pili Kundi A [Cape Town Stadium]
21:30 [Mechi Na 25] Mshindi Kundi A v Wa Pili Kundi B [Cape Town Stadium]
Jumapili Januari 26
18:00 [Mechi Na 28] Mshindi Kundi D v Wa Pili Kundi C [Peter Mokaba Stadium]
21:30 [Mechi Na 27] Mshindi Kundi C v Wa Pili Kundi D [Free State Stadium]
NUSU FAINALI
Jumatano Januari 29
18:00 [Mechi Na 29] Mshindi Mechi Na 25 v Mshindi Mechi Na 28 [Free State Stadium]
21:30 [Mechi Na 30] Mshindi Mechi Na 27 v Mshindi Mechi Na 26 [Free State Stadium]
Jumamosi Februari 1
18:00 Mshindi wa Tatu [Cape Town Stadium]
21:00 Fainali [Cape Town Stadium]

No comments:

Post a Comment