Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, December 17, 2013

REAL MADRID YAZINDUA MSIMU WA SIKUKUU KWA WACHEZAJI WAKE KWA KUKUTANA NA WACHEZAJI WA KIKAPU

 
Wakati msimu wa sherehe za Krismass na mwaka mpya ukiwa unazidi kushika kasi huku mameneja wa vilabu vya England (Premier League) wakikosa usingizi kwa hofu ya nini kitatokea kesho huko Hispania Real Madrid iliwakutanisha pamoja nyota wao wa vikosi vya timu za mpira wa miguu na kikapu ambao waliokuwa katika mitindo mbalimbali ya kisasa.
Hakukuwa na mavazi ya ajabu ajabu yaliyoonekana ambapo wachezaji walikuwa huru kunywa na wakifurahia milo huku wachezaji wa vikosi vyote wa Real Madrid wakikusanyika kwa pamoja wakisheherekea mchana wa jana.
Wazo la kuzindua sherehe za Krismass na mwaka mpya kwa mtindo wa chakula cha mchana hapo jana Jumatatu linaonekana ni jambo la kawaida kwa Waingereza ambapo Cristiano Ronaldo, Sergio Ramos na Gareth Bale walijumuika na wenzao wenye uzoefu ambao si wazoefu sana na mambo hayo ndani ya Bernabeu.
Looking sharp: (L-R) Gareth Bale, Marcelo Vieira, basketball player Dontaye Draper and Luka Modric didn't wear fancy dress
Tea total: Cristiano Ronaldo (right) and basketball player Marcus Slaughter surrounded by empty glasses
Cristiano Ronaldo (kulia) akiwa na mcheza kikapu nyota wa Real Madrid Marcus Slaughter wakiwa wamezungukwa na glasi za vinywaji
Hair raising: Gareth Bale (right) shares a joke with Brazilian Marcelo - but neither look like they'll wake with a sore head tomorrow
 Gareth Bale (kulia) akitaniana na Mbrazil Marcelo
All the president's men: Florentino Perez (centre) chats with Marcelo and Gareth Bale
Rais Florentino Perez (katikati) akizungumza na wachezaji Marcelo na Gareth Bale
Nyota wa Los Blancos waliuungana na wachezaji klabu hiyo wa mchezo kikapu ikiwa ni pamoja na Marcus Slaughter na Dontaye Draper.
Kituko ni pale Balozi wa klabu hiyo Zinedine Zidane alionekana mdogo alipojipima urefu na wachezaji wa kikapu Salah Mejri na Ioannis Bourousis ambao timu yao ya kikapu msimu uliopita walifika fainali ya ligi ya mabingwa ya kikapu wakifungwa katika fainali na Olympiakos.
Cut down to size: Zinedine Zidane (centre) looks small with basketball players Salah Mejri (left) and Ioannis Bourousis
Zinedine Zidane (katikati) akionekana mdogo kwa urefu ukilinganisha na wachezaji kikapu wa Real Madrid Salah Mejri (kushoto) na Ioannis Bourousis
Godfather table: President Florentino Perez (centre), manager Carlo Ancelotti (left) and basketball coach Pablo Laso oversee eventsPresident Florentino Perez (katikati), meneja Carlo Ancelotti (kushoto) na kocha wa timu ya kikapu ya Real Madrid Pablo Laso
Mingling: President Florentino Perez talks with Raphael Varane (left) and Alvaro Arbeloa (right)
President Florentino Perez akiongea na Raphael Varane (kushoto) na Alvaro Arbeloa (kulia)
Team building: Players of Real Madrid basketball and football teams attend the Real Madrid Christmas lunch at Estadio Santiago Bernabeu
Wachezaji wa timu zote mbili za Real Madrid za kikapu na mpira wa miguu wakiwa wamehudhuria sherehe za uzinduzi wa msimu wa krismas kwa timu yao ambazo zilifanyika jana Jumatatu Estadio Santiago Bernabeu

No comments:

Post a Comment