


Chezea City wewe: Kompany (kati) akishangilia baada ya kusawazisha bao hilo kipindi cha kwanza

Philippe Coutinho akiendesha mpira baada ya kuachiwa na Raheem Sterling nakisha kuwapa bao Liverpool

Suarez akikimbizwa na Lescott pamoja na Yaya Toure

Chupuchupuu: Raheem Sterling aliachia mpira na mpira huo ukagonga posti ya goli kwa juu

Luis Suarez juu kwa juu na Joleon Lescott

City captain Vincent Kompany akidhihirisha kwamba yeye ni beki hapa!!

Negredo akiwawasha Majogoo bao la pili

Kipa Mignolet hakuona ndani chuti la Negredo.
VIKOSI:
Man City: Hart 7, Zabaleta 6, Kompany 7, Lescott 7, Kolarov 5, Y Toure 6, Fernandinho 7, Navas 8, Silva 7 (Garcia, 86), Nasri 6 (Milner 71, 6), Negredo 8 (Dzeko 76).
Subs not used: Pantilimon, Clichy, Boyata, Nastasic.
Goals: Kompany 30, Negredo 45
Booked: Zabaleta 80
Liverpool: Mignolet 6, Johnson 6, Sakho 7, Skrtel 6, Cissokho 5; Lucas 6 (Aspas, 81), Sterling 7, Henderson 7, Allen 6, Coutinho 6 (Moses, 67), Suarez 7.
Subs not used: Jones, K Toure, Agger, Alberto, Smith.
Goal: Coutinho 23.
Booked: Johnson, Moses, Suarez..
Man of the match: Jesus Navas.
Referee: Lee Mason 7.
Attendance: 47,351.
No comments:
Post a Comment