Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, September 15, 2013

FLOYD MAYWETHER AMDUNDA CANELO ALVAREZ

Bondia floyd Mayweather kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na  Canelo Alvarez wakati wa mpambano wao Mayweather alishinda kwa pointi
MATOKEO KAMILI YA MPAMBANO WA floyd Mayweather vs Canelo Alvarez Judges Dave Moretti (116-112) and Craig Metcalfe (117-111) scored the fight in favor of Mayweather, while C.J. Ross scored it a 114-114 draw.




Bondia Floyd Mayweather akiwa na mikanda yake baada ya kumdunda  Canelo Alvarez
Bondia Floyd Mayweather kushoto akioneshana umwamba na Canelo Alvarez wakati wa mpambano wao


No comments:

Post a Comment