Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, July 8, 2013

TAMASHA LA MATUMAINI LAIBUA MATUMAINI KWA WATANZANIA WAJUMUIKA PAMOJA, JK ATEMA CHECHE KWA WANASIASA UCHWARA

JK akisaini mpira mbele ya mwamuzi Othman Kazi


JK akisalimiana na wasanii wa Bongo fleva
Kikosi cha Wabunge wa Simba

Kikosi cha wabunge wa Yanga


Nahodha wa timu ya wabunge wa Yanga akikabidhiwa kombe na Waziri wa Habari, Michezo, Utamaduni na Vijana, Mh. Fenella Mkangara baada ya kuwafunga wabunge wa Simba kwa penati 4-3 baada ya kumaliza dakika 90 wakiwa sare ya 0-0


Bongo movie na bongo fleva wakichuana

Kocha wa bongo Muvi JB akifuatilia mpambano kwa makini

Nahodha wa timu ya Bongo fleva, H.Baba akikabidhiwa kombe na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,  Wiliam Ngeleja baada ya kuwafunga bongo muvi kwa penati 3-0 baada ya kumaliza dakika 90 wakiwa wamefungana 1-1

Ester Bulaya (mb) akichuana na Aunt Ezekiel

Halima Mdee(mb) akichuana na Jacline Wolper

Prezoo naye alikuwepo pia

Thomas Mashali akipokea ngao baada ya kumpiga kwa KO bondia wa Kenya

Kijana aliyeleta fujo akiwa amebebwa na baunsa baada ya kugoma kutembea wakati alipokamatwa na polisi


Bondia ambaye alikuwa mpinzani wake na Thomas Mashali akiwa chini baada ya kupokea konde zito


No comments:

Post a Comment