Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, January 19, 2013

DAR LEOPARDS RUGBY CLUB YAPATIWA MSAADA NA ALLIANCE AUTOS


Meneja Mkuu wa Alliance Autos, wakala wa Volkswagen nchini, Alfred Minja akikabidhi jezi kwa timu mchezo wa raga (Rugby) ya Dar Leopards jijini Dar es Salaam. Anayepokea ni Mwenyekiti wa Dar Leopards Rugby Club,Bw. Phillippe Poinsot. Minja amesema kuwa wameamua kuunga mkono mchezo wa raga(Rugby) kwani ni miongoni mwa michezo iliyosahaulika nchini. Alliance Auto wameshirikiana na HSE Solutions kudhamini jezi Dar Leopards Club. Wanaoshuhudia tukio hilo ni baadhi wachezaji wa Dar Leopards Rugby Club.


Kocha wa timu ya Dar Leopards Rugby Club Bw. Jonathan Taylor (kushoto) akipozi na baadhi ya wachezaji wa Club hiyo huku wakiwa wamevalia jezi hizo.


Meneja Mkuu wa Alliance Autos, wakala wa Volkswagen nchini, Alfred Minja (kulia) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Dar Leopards Rugby Club,Bw. Phillippe Poinsot.


Kocha wa timu ya Dar Leopards Rugby Club Bw. Jonathan Taylor akipozi na baadhi ya wachezaji wa Club hiyo kwenye moja ya Brand ya magari ya Alliance Autos aina ya 'Volks Wagon AMAROK' huku wakiwa wamevalia Jezi walizokabidhiwa leo katika makao makuu ya kampuni hiyo.

No comments:

Post a Comment