Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, December 17, 2012

YANGA, KAGERA SUGAR, TOTO AFRICAN ZAAGA RASMI MASHINDANO YA UHAI HUKU SIMBA, AZAM, COASTAL UNION, JKT OLJORO ZIKITINGA ROBO FAINALI

Timu za Simba, Azam, African Lyon, Mtibwa Sugar, JKT Ruvu, Coastal Union, JKT Oljoro na Ruvu Shooting zimefanikiwa kuingia robo fainali ya mashindano ya uhai Cup ynayoendelea jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya Karunme na Chamazi

Mashindano hayo ambayo yalianza kutimua vumbi desemba 12 yanatarajiwa kuendelea tena kesho kutwa baada ya mapumziko ya kesho na yatafikia tamati besemba 23 mwaka huu.

Timu za Yanga, Kagera Sugar, JKT Mgambo, Polisi Morogoro, Tanzania Prison na Toto African zimeaga rasmi mashindano hayo.

No comments:

Post a Comment