Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, December 7, 2012

NASIB NA MIYEYUSHO WATAMBIANA


Kesho ndio siku ambayo mabondia Francis Miyeyusho na Nasib Ramadhan watapima uzito kabla ya kupanda ulingoni desemba 9 mwaka huu kumaliza tambo zao.

Mabondia hao watapima uzito ndani ya red carpet kwenye uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam saa tatu asubuhi pia kutakuwepo na burudani mbalimbali.

Watakuwa wanapambana kuwania mkanda wa WBF kama unavyoonekana kwenye picha.


No comments:

Post a Comment