Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, September 15, 2012

MASHINDANO YA TENESI GYMKHANA YANOGA

Mchezaji  Thomaas Jacob akijiandaa kusave mpira kwa mchezaji mwenzake Benard Anthony jana kwenye viwanja vya gymkhana jijini Dar es salaam


Yohana Mwila akipeana fair play na MosesMabula baada ya mchezo wao jana kwenye viwanja vya Gymkhana

Mchezaji mwenye ulemavu Benard Anthony akirudisha mpira kwa mpinzani wake Thomas Jacob kwenye mashindano ya Tenisi yanayodhaminiwa na Simba Cement kwenye viwanja vya Gymkhana jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment