Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, August 18, 2012

" Hakuna sababu ya kutufanya tusichukue ubingwa wa Super 8 kwani timu yetu ina historia ya kuwa wa kwanza wa kutwaa kombe la mashindano mapya yanayoanzishwa Twanzania" Haya ni maneno ya Ezekiel Kamwaga.
Pengine naweza zimekuwa fainali za aina yake kwani timu zilizoshiriki mashindano ya super 8 zilileta vikosi kamili lakini Simba wao wakaamua kuingiza timu B,
 Unajua ukiaminiwa na wewe unaonyesha kuwa kweli ulistahili, ndivyo walivyofanya Simba Bkwa kucheza kambumbu safi lililowaduwaza watu maana hata kama uipendi Simba basi mchezo uliokuwa unatandazwa uwanja ulimvutia kila mmoja na kuanza kushangilia. Walianza kwa Azam, pamoja upro wao walilala.
Kikosi cha Mtibwa kilichoangushwa kama mende 

Kikosi kilichoandika historia ya kutwaa ubingwa wa super 8 yaliyodhaminiwa na banc ABC
Leo mtu mzima Mtibwa kachezeshwa mpira mpira maana wakifunga Simba wao wanachomoa ..

No comments:

Post a Comment