Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, July 16, 2024

Azam FC yashusha kiungo kutoka Mali

 Azam FC imefanikiwa kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Mali, Cheickna Diakite, kutoka miamba ya huko, Real Bamako. Nyota huyo chipukizi, 19, aliyepachikwa jina la staa wa Real Madrid Mbappe.

 



No comments:

Post a Comment