Klabu hizi za Manchester zitakutana huko Bird's Nest Stadium huko Beijing, China, Jumatatu Julai 25 ikiwa ni moja ya Mechi za Kirafiki kwa ajili ya kujitayarisha na Msimu mpya ambapo Timu kubwa Duniani hujumuishwa kwenye Mashindano ya kugombea International Champions Cup.
Thursday, March 24, 2016
JOSE MOURINHO NA PEP GUARDIOLA KUKUTANA USO KWA USO
Klabu hizi za Manchester zitakutana huko Bird's Nest Stadium huko Beijing, China, Jumatatu Julai 25 ikiwa ni moja ya Mechi za Kirafiki kwa ajili ya kujitayarisha na Msimu mpya ambapo Timu kubwa Duniani hujumuishwa kwenye Mashindano ya kugombea International Champions Cup.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment