Katika Dakika ya 50, Taras Stepanenko wa Shakhtar Donetsk alibandikwa Kadi ya Njano ya Pili na kutolewa nje kwa Kadi Nyekundu.
Dakika ya 63 Ronaldo akafunga Bao la 3 kwa Real kwa Penati nyingine iliyotolewa baada ya Azevedo kuushika Mpira.
Ronaldo alipiga Bao lake la 3 na la 4 kwa Real katika Dakika ya 81 baada ya Shuti la Marcelo kuzuiwa na kumrudia yeye aliemalizia vizuri.
No comments:
Post a Comment