Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, September 26, 2015

BARCELONAYASHINDA 2-1 DHIDI YA LAS PALMAS KWENYE SPANISH PRIMERA DIVISIÓN, MESSI AUMIA, KUKAA NJE WIKI 7-8!

Lionel Messi chini akijiuguza Habari za haraka zinasema kapelekwa Hospital na atalazimika kukaa nje kwa matibabu ambayo yanaweza kuchukuwa muda wa wiki 7 mpaka 8. Kataka mechi hiyo Messi hakuumaliza mpira huo kwani alilazika kutolewa nje.

No comments:

Post a Comment