Mkataba wake wa awali ulitakiwa kumalizika Mwakani baada ya kuteuliwa Meneja wa Man City Juni 2013 kumrithi Roberto Mancini.
Sambamba na Pellegrini, Wasaidi wake pia wamepewa nyongeza za Mikataba yao na hao ni Meneja Msaidizi Ruben Cousillas, Kocha wa Makipa Xabier Mancisidor na Kocha wa Viungo Jose Cabello.
Man City wanaanza Msimu wao mpya kwenye Ligi Kuu England kwa kucheza Ugenini na West Brom hapo Jumatatu.
No comments:
Post a Comment