Raul Garcia akishangilia bao lake la kwanza kwa Atletico Madrid usiku huu kwenye mchezo wa Copa Del Rey Atletico Madrid.
BAO zote mbili zimefungwa katika kipindi cha pili, Bao la kwanza ni la mkwaju wa penati wa Raúl García dakika ya 58 na bao la pili ni la kichwa la José Giménez dakika ya 76 kipindi cha pili na Mtanange kumalizika kwa 2-0 dhidi ya Real Madrid.
Real Madrid ndio Mabingwa Watetezi wa Kombe hili ambapo kwenye Fainali Mwezi Mei Mwaka Jana waliibwaga FC Barcelona.
Kwenye Raundi hii, Barcelona wao wataanza Nyumbani Nou Camp na mpinzani wao ni Elche.
Mechi za Copa del Rey huchezwa kwa mtindo wa nje ndani, yaani Nyumbani na Ugenini na Marudiano ya Raundi hii yataanza Januari 13.
RATIBA:Usiku huu
Jumatano Januari 7
22:00 Villarreal CF v Real Sociedad
23:00 Atletico de Madrid v Real Madrid CF
00:01 Valencia C.F v RCD Espanyol
00:01 UD Almeria v Getafe CF
Alhamisi Januari 8
22:00 Granada CF v Sevilla FC
00:01 FC Barcelona v Elche CF
22:00 Villarreal CF v Real Sociedad
23:00 Atletico de Madrid v Real Madrid CF
00:01 Valencia C.F v RCD Espanyol
00:01 UD Almeria v Getafe CF
Alhamisi Januari 8
22:00 Granada CF v Sevilla FC
00:01 FC Barcelona v Elche CF
No comments:
Post a Comment