ENGLISH PREMIER LEAGUE: HULL CITY 0 v MANCHESTER CITY 2, DAVID SILVA NA DZEKO WAIPATIA USHINDI CITY!
Mchezaji wa City David Silva akishangilia bao lake la dakika ya 14 kipindi cha kwanza, ambapo bao hilo lilidumu mpaka kipindi cha kwanza kilipomalizika.
Kipindi cha pili dakika ya 90 Edin Dzeko akaipachikia bao la pili City na kufanya 2-0 dhidi ya wenyeji Hull City.
Mpira umemalizika kwa 2-0.
David Silva
Vincent Kompany akichuana na Nikica Jelavic
Kipindi cha pili dakika ya 90 Edin Dzeko akaipachikia bao la pili City na kufanya 2-0 dhidi ya wenyeji Hull City.
Mpira umemalizika kwa 2-0.
Na Red ilikuwemo leo...
Post a Comment