Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, January 18, 2014

CHELSEA vs MANCHESTER UNITED, REFA NI PHIL DOWD HUKO STAMFORD BRIDGE


Kocha wa Man United David Moyes amethibitisha kuwa Man United itawakosa Mastraika wake wakubwa, Wayne Rooney na Robin van Persie, ambao bado kuwa fiti baada kukabiliwa maumivu kwa Wiki kadhaa sasa.

Man United wana rekodi nzuri kwa Mechi za Ugenini wakiwa wamefungwa Mechi moja tu, ile ya Captal One Cup na Sunderland, Sare moja na kushinda zilizobaki.
Kesho Jumapili, Manchester United wanasafiri kwenda Stamford Bridge kucheza na Chelsea na kabla Mechi hiyo kuanza, wanaweza kujikuta wako Pointi 14 nyuma ya Arsenal ambao wanacheza Jumamosi na Fulham Uwanja wa Emirates.
Kwenye Mechi na Chelsea, Man United itawakosa Mastraika wao wakubwa, Van Persie na Wayne Rooney, ambao ni Majeruhi.
Van Persie hajaichezea Man United tangu Desemba 10 walipocheza Mechi ya UCL na kuifunga Shakhtar Donetsk Bao 1-0.
Rooney na Van Persie wakifanya mazoezi

Mchezaji wa Man United, Wayne Rooney ambaye pia ataukosa mtanange wa kesho jumapili huko Darajani Chelsea

Nae Robin van Persie nae majanga atakuwa nje!

Rooney mpaka sasa yupo nje tangu mwaka mpya alipocheza na Tottenham huko Old Trafford

Jembe!: Marouane Fellaini jana ijumaa alijifua kwenye mazoezi na kesho anatarajiwa kucheza mtanange huo wa kukata na shoka na Chelsea huko Stamford BridgeDanny Welbeck ndani..
Phil Jonesnae atakuwepo kwenye kikosi hicho cha kukwaana na Chelsea kesho saa 1:00 usiku
RATIBA:
Jumamosi Januari 18

15:45 Sunderland v Southampton
18:00 Arsenal v Fulham
18:00 Crystal Palace v Stoke
18:00 Man City v Cardiff
18:00 Norwich v Hull
18:00 West Ham v Newcastle
20:30 Liverpool v Aston Villa


Jumapili Januari 19
16:30 Swansea v Tottenham
19:00 Chelsea v Man United
Jumatatu Januari 20
23:00 West Brom v Everton


VIKOSI VINATARAJIWA KUWA HIVI:- 
Chelsea (Possible, 4-2-3-1): Cech; Azpilicueta, Cahill, Terry, Cole; Luis, Ramiers, Willian, Oscar, Hazard; Torres.
Out: Van Ginkel (knee).
Tests: Ivanovic (knee), Lampard (calf).
Man United (Possible, 4-2-3-1): De Gea; Rafael, Smalling, Vidic, Evra; Fletcher, Carrick; Valenica, Januzaj, Kagawa; Welbeck. Out: Fellaini (wrist), Ferdinand, Jones (both knee), Rooney (groin), Van Persie (thigh), Young (shoulder).
Referee: Phil Dowd.


MSIMAMO ULIVYO KWA SASA KABLA YA MECHI ZA LEO JUMAMOSI HII.

2013-2014 Barclays Premier League Table

Overall
Home
Away

POS
TEAMPWDLFA
WDLFA
WDLFA
GDPts
1 Arsenal 21 15 3 3 41 19
7 2 1 18 6
8 1 2 23 13
22 48
2 Manchester City 21 15 2 4 59 23
10 0 0 38 6
5 2 4 21 17
36 47
3 Chelsea 21 14 4 3 40 19
9 1 0 22 8
5 3 3 18 11
21 46
4 Liverpool 21 13 3 5 51 26
9 0 1 27 6
4 3 4 24 20
25 42
5 Everton 21 11 8 2 34 19
7 3 1 21 9
4 5 1 13 10
15 41
6 Tottenham Hotspur 21 12 4 5 26 25
5 3 3 13 13
7 1 2 13 12
1 40
7 Manchester United 21 11 4 6 35 24
5 2 4 14 10
6 2 2 21 14
11 37
8 Newcastle United 21 10 3 8 29 27
5 3 3 17 12
5 0 5 12 15
2 33
9 Southampton 21 8 6 7 27 23
5 3 3 17 12
3 3 4 10 11
4 30
10 Hull City 21 6 5 10 22 27
5 3 3 15 8
1 2 7 7 19
-5 23
11 Aston Villa 21 6 5 10 20 27
2 2 7 8 16
4 3 3 12 11
-7 23
12 Stoke City 21 5 7 9 22 35
4 5 2 14 12
1 2 7 8 23
-13 22
13 Swansea City 21 5 6 10 26 30
2 4 4 18 17
3 2 6 8 13
-4 21
14 West Bromwich Albion 21 4 9 8 23 28
3 3 4 12 12
1 6 4 11 16
-5 21
15 Norwich City 21 5 5 11 17 35
3 3 4 10 11
2 2 7 7 24
-18 20
16 Fulham 21 6 1 14 22 46
3 1 7 14 22
3 0 7 8 24
-24 19
17 West Ham United 21 4 6 11 21 30
2 3 5 12 16
2 3 6 9 14
-9 18
18 Cardiff City 21 4 6 11 15 34
3 3 5 10 17
1 3 6 5 17
-19 18
19 Sunderland 21 4 5 12 19 34
2 1 7 10 17
2 4 5 9 17
-15 17
20 Crystal Palace 21 5 2 14 13 31
3 2 5 8 14
2 0 9 5 17
-18 17

No comments:

Post a Comment