Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, June 23, 2013

BONANZA LA BUKOBA VETERAN LAFANA BUKOBA, TIMU YA BANANA IKICHINJA TIMU YA KAHAWA BAO 1-0.

Kikosi cha Timu ya Banana Fc kilichoibuka kidedea leo kwenye bonanza lililofanyika kwenye uwanja wa Kaitaba na hatimaye timu ya Banana kuibuka kidedea kwa kuichapa bao 1-0 timu ya Kahawa na hapa wakiwa wanashangilia kwenye picha ya pamoja na wadau kwenye ufukwe wa Kiroyera ziwa Victoria.
Timu ya Banana
Tumewachapa....tumewashindaaaa...bao 1-0

Kikosi cha Timu ya Kahawa wakati wa pmapumziko uwanjani kaitaba leo hii.
Wachezaji wa Kahawa wakiteta jambo wakati wa mapumziko.

Kikosi cha Banana kilichoibuka kidedea kwa kuichapa bao 1-0 katika kipindi cha pili na hapa ni mechi ilipoisha muda kidogo kabla ya kuelekea Kiroyera Beach kupata kilichoandaliwa huko.

Kikosi cha Banana kikipata maelekezo kutoka kwa kiongozi
Viongozi wakicheki mtanange Kaitaba
Mashabiki
Raha ya soka...
Na sisi tulikuwepo!!!
Mashabiki wakiangalia mtanange katika bonanza la leo hii

Mwinyi akiwa anatoka uwanjani tayari kuelekea Kiroyera

Mtu na kaka yake Bwana...No Coment!!
Kiroyera Beach

Jembe likijuza japo kwa sms kuwa tayari Kiroyera na mambo yanendelea kuwa kama yalivyopangwa

Wachezaji wakijisevia hapa.........
Nikandamizie na mimi...
Mambo ya supu haya!!


Jamali a.k.a Jamco nae alishiriki kama mwanasoka upande wa timu ya Banana FC
Aliyesimama ni mwanasoka wa Bukoba Veteran ambaye leo alicheza upande wa Timu ya Banana Fc na hapa akipata supu na wadau mbalimbali
Kiroyera Beach samaki mwenyewe anajisogeza hapa...karibu!!



Kazi na dawa!!

wakiteta jambo hapa...

Upepo safi wa kiroyera beach ukipita hapa....
wakipeana majukumu ya hapa na pale

Wadau...Tafa Saidi akijisogeza kitaratibu kwa mdau wake wa siku nyingi


Moses Inyama (farry ipupa) ambaye takribani wiki moja sasa karejea kutoka nchini Denmark akifanya vitu vyake hapa kwenye ufukwe wa ziwa Victoria (Kiroyera Beach) wazi wazi baada ya raha kumpanda kichwani
jamani.......njoooni .....jamaaa...
Fally Ipupa anajulikana kitaa...
Mara kaka mkuu akasogea...ikawa full!!!
Kulia ni Bw. Ernest nyambo akijisogeza kwa Fally Ipupa kuchuana vilivyo kama ilivyokuwa Kaitaba Stadium
Raha tujipe kaka....

Bonanza hili litakuwa likifanyika kila mwezi taratibu ambazo bukobasports.com imezipata kutoka kwa mratibu wa bonanza hilo na kumbuka Bonanza hili linadhaminiwa na TBL.

No comments:

Post a Comment