Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, October 24, 2016

KHADIJA KOPA KUTOA BURUDANI USIKU WA MSHIKE MSHIKE

Ni Malkia wa taarabu Tanzania, Khadija Kopa, atadondosha burudani kali#Live kwenye usiku wa Mshike Mshike ya 102.5 @lakefmmwanza ndani ya Villa Park Resort Jijini Mwanza, huku akiwa na bendi yake.

Ni Alhamisi tarehe 27.10.2016, Usikosee kwa mtonyo wa buku saba kabla ya saa tano usiku, na buku kumi baada ya saa tano usiku!
#Lakefm #LakeFmDjs #BMG #BinagiBlog #UsikuWaMshikeMshike

No comments:

Post a Comment