Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, May 6, 2016

SUAREZ AIKUMBUKA LIVERPOOL NA KUTUMA UJUMBE


Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anakipiga Barcelona, Luis Suarez ameikumbuka timu yake ya zamani ya Liverpool baada ya kufuzu kucheza fainali ya Kombe la Vilabu barani Ulaya.
Suarez aliandika ujumbe kupitia ukurasa wake wa Twitter kwa kuwapongeza baada ya kuwafunga Villarreal 3-0 na hivyo kufuzu kucheza fainali ya UEFA Europe League.
Suarez aliandika “Hongera Liverpool kwa kuingia fainali, Hongereni marafiki!!”

No comments:

Post a Comment