

Wachezaji hao Wawili wote walikiri makosa yao lakini Huth aliomba asifungiwe Mechi 3 kwa vile itakuwa Adhabu kubwa kupindukia.
Kifungo hiki kitamfanya Fellaini azikose Mechi 3 za BPL za Man United walizobakiza Msimu huu lakini yupo ruksa kucheza Fainali ya FA CUP hapo Mei 21 Uwanjani Wembley dhidi ya Crystal Palace.


No comments:
Post a Comment