Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, December 9, 2015

MANCHESTER CITY YAIFUNGA BORUSSIA MONCHENGLADBACH MABAO 4-2, UEFA CHAMPIONS LEAGUE

Raheem Sterling alifunga bao mbili na kutengeneza mabao mengine Manchester City walipoichabanga bao 4 kwa 2 Borussia Monchengladbach_ 4-2 na kukaa kileleni kwenye Group D.Raheem Sterling akishangilia moja ya bao lake
Kolarov kwenye patashika baada ya kutupwa nje ya Uwanja na kuangukia kwa waandishi wa HabariHatari tupu!!!Chupuchupu!! Borussia Monchengladbach nao wakishangilia bao lao moja wapo
Silva akishangilia bao lake la kwanzaKikosi cha Man City

No comments:

Post a Comment