
Klabu 8 kutoka Nchi 5 za Ulaya zipo kwenye Droo hiyo ambayo tofauti na Raundi zilizopita, safari hii Droo hii ni huru na hivyo Klabu za Nchi moja hazibaguliwi na zinaweza kukutanishwa.

Mechi za Robo Fainali zitachezwa hapo Aprili 14 na 15 na Marudiano ni Aprili 21 na 22.
Droo ya Nusu Fainali itafanyika Aprili 24 na Mechi zake kuchezwa Mei 5 na 6 na Marudiano ni Mei 12 na 13.
Fainali ya UEFA CHAMPIONS LIGI itachezwa hapoJumamosi Juni 6 huko Olympiastadion, Jinini Berlin, Ujerumani.
WALIOTINGA HATUA YA ROBO FAINALI:
Club Atlético de Madrid (ESP)
FC Barcelona (ESP)
FC Bayern München (GER)
Juventus (ITA)
AS Monaco FC (FRA)
Paris Saint-Germain (FRA)
FC Porto (POR)
Real Madrid CF (ESP, holders)
NJIA NYEUPE BERLIN
Quarter-finals: Draw 20 March, matches 14-15 & 21-22 April
Semi-finals: Draw 24 April, matches 5-6 May & 12-13 May
Final: Saturday 6 June
No comments:
Post a Comment