Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, March 24, 2015

DJOKOVIC BINGWA BNP PARIBAS OPEN


Mcheza tenis namba moja duniani Novak Djokovic ilikuwa ni furaha pale aliponyakua ubingwa wa BNP Paribas Open kwa mshinda mpinzani wake Roger Federer kwa set 6-3 6-7 (5-7) 6- huko indian Wells nchini Marekani.Djokovic mwenye miaka 27 alikuja juu na kutawala mchezo tangu mwanzo ambapo baade Federer akajitutumia lakini akaishia kuchapwa na mpinzani wake.Novak Djokovic

No comments:

Post a Comment