Mwaka 2013, Ronaldo anaechezea Real Madrid, alitwaa Ballon d’Or na kuvunja wimbi la Lionel Messi la kutwaa Tuzo hiyo kwa Miaka Minne mfululizo.

Kuanzia Mwaka 2010, France Football waliungana na FIFA na kuziunganisha Tuzo za Ballon d’Or pamoja na ile ya FIFA ya Mchezaji Bora Duniani na kuitwa FIFA Ballon d’Or.


Angel Di Maria ni moja ya Wachezaji 3 walioteuliwa kugombea nafasi hiyo wanaocheza katika Ligi kuu England. Eden Hazard na Yaya Toure wamo ndani ya 23 katika Listi hiyo.
LISTI YA WAGOMBEA 23 WA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA DUNIA 2014 (FIFA BALLON d’Or).
1. Gareth Bale (Wales)
2. Karim Benzema (France)
3. Diego Costa (Spain)
4. Thibaut Courtois (Belgium)
5. Cristiano Ronaldo (Portugal)
6. Angel Di Maria (Argentina)
7. Mario Goetze (Germany)
8. Eden Hazard (Belgium)
9. Zlatan Ibrahimovic (Sweden)
10. Andres Iniesta (Spain)
11. Toni Kroos (Germany)
12. Philipp Lahm (Germany)
13. Javier Mascherano (Argentina)
14. Lionel Messi (Argentina)
15. Thomas Mueller (Germany)
16. Manuel Neuer (Germany)
17. Neymar (Brazil)
18. Paul Pogba (France)
19. Sergio Ramos (Spain)
20. Arjen Robben (Netherlands)
21. James Rodriguez (Colombia)
22. Bastian Schweinsteiger (Germany)
23. Yaya Toure (Côte d’Ivoire)
No comments:
Post a Comment