Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, February 22, 2014

WASANII WA BONGO MUVI NA MUZIKI WAPEWA SEMINA JIJINI DAR

001

Mkurugenzi  Mtendaji  Kampuni ya Chief Promotion, Amoni Mkoga akitoa hotuba yake wakati wa semina ya wasanii wa Muziki pamoja na Bongo movie iliofanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni jijini Dar es Salaam 21 Februari-2014 lengo la semina hiyo ilikuwa kuzungumzia hakimili kwa wasanii pamoja na kujiunga na mifuko ya jamii ili kujiwekea akiba ya baadae (kushoto), Afsa Mwandamizi wa Huduma kwa Mlipa Kodi TRA, Msafiri Mbibo (watatu kulia), Kaimu Afsa Kumbumbuku COSOTA Bw Philemon Kilaka, na wakwanza kulia Kaimu Mwanasheria COSOTA Bw,Zephania Lyamuya.
002
Mkuu wa Mawasilano Promosheni na Uhamasishaji wa Mfuko wa Uthibiti wa Mfuko  Hifadhi Nchini (SSRA), akiwaelezea wasanii kuhusiana na mifuko mbalimbali ya hifadhi ya  jamii kama NSSF,PSPF ,LAPF,GEPF,PPF,NHIF  juu ya faida pale wapofikia muda wakustaafu kazi  kisanii au kupatwa na matatizo mbalimbali (katika), Mwanasheria COSOTA Bw,Zephania Lyamuya (kusho), Kaimu Afsa Kumbumbuku COSOTA Bw. Philemon Kilaka.
003
Afsa Mwandamizi wa Huduma kwa Mlipa Kodi TRA, Msafi Mbibo akiwaelezea wasanii mwongozo wa utumiaji mashine maalumu za kodi za kielekitroniki (EFDs), wakati wa semina ya hatimiki kwa sanii mbalimbali wa bongo movie pamoja na muziki,
004
Kaimu Afisa Kumbumbuku COSOTA Bw Philemon Kilaka.akiwalezea wasanii jinsi hakimiliki na mikataba katika kazi za sanaa.
005
Afisa wa Mfuko wa Penseni (PSPF), Haji Jamadary, nae akiwaelezea wasanii kuhusiana na uchangiaji katika mpango wa hiyari wakati wa kutegemea upatikanaji wa kipato cha ziada kwa ajiliya akiba.
006
Mwenyeki wa Bongo Movie, Steven Mengeze akiwasisitiza wasanii wenzake kuhudhuria kwenye semina pamoja na  kujiunga na  mifuko ya hifadhi ya jamii na namna ya kufuatilia  upatikanaji wa haki za kazi zao za sanaa.
007
Wasanii mbalimbali wakifuatilia kwa umakini mada mbalimbali wakati wa semina hiyo.
008
Msanii Aliy Mango akionesha umahiri wake wakucheza na nyoka wakati wa semina hiyo.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE DAR ES SALAAM).
009

No comments:

Post a Comment