Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, January 11, 2013

LIONEL MESSI AKATAA KUITOA REAL LA LIGA

Golden Balls! Lionel Messi akiwa pamoja na tuzo zake nne za Ballon D'Or
Barcelona:
NYOTA wa Barcelona, Lionel Messi amesema licha ya Real Madrid kujitoa katika mbio za ubingwa, kamwe hawezi kuiweka pembeni.

Messi amesisitiza: "Hakuna kinachoshindikana La Liga. Miaka michache iliyopita, Madrid ilituengua kileleni jumla.  Tunajua hatuwezi kuiondoa katika mbio hizi. Tunahitaji kuendelea kama tunavyofanya na si kufanya makosa kwa kujisahau."

No comments:

Post a Comment