Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, December 5, 2012

UHAI CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI DESEMBA 11 MWAKA HUU

Michuano ya Kombe la Uhai inayoshirikisha timu B za klabu za Ligi Kuu ya Vodacom inatarajia kuanza Desemba 7 mwaka huu na kumalizika Desemba 22 mwaka huu.
 

Mashindano haya ambayo yamedhaniwa na kampuni ya Azam kupitia bidhaa yake ya maji ya Uhai yatashirikisha  wachezaji  ambao usajili wao ulifanyika na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na kupata leseni. Hakutakuwa na usajili mwingine wowote mbali na ule uliofanyika sambamba na wa Ligi Kuu labda kama timu ilisajili wachezaji 22 tu ndizo zitakazo ruhusiwa kuongeza.
Taratibu zote za michuano hiyo zitafahamishwa kwa klabu husika ikiwemo ratiba ya michuano hii

No comments:

Post a Comment