Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, December 13, 2012

Seydou Keita arudi Barcelona


Barcelona 

KIUNGO wa Dalian Aerbin, Seydou Keita, amerudi kujifua Barca akijiandaa na fainali za Mataifa ya Afrika mwakani baada ya Ligi Kuu ya China kufikia ukiongoni.

Keita, ambaye alikuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Josep Guardiola wakati akiinoa miamba hiyo Camp Nou, aliichezea Barca jumla ya mechi 188 kati ya 2008 na 2012, huku akishinda mataji 14 na 'Blaugrana' hao

No comments:

Post a Comment