Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, December 13, 2012

Real yalala, Barca yaua



Madrid
WAKATI Lionel Messi akiifungia mara mbili Barcelona na kuipa ushindi wa 2-0 kwenye mechi ya Kombe la Mfalme "Copa del Rey" dhidi ya Cordoba usiku wa kuamkia jana, Celta Vigo iliinyuka Real Madrid 2-1 katika kinyang'anyiro hicho.

Mario Bermejo na Cristian Bustos ndiyo walioiwezesha Celta kuongoza kwa mabao 2-0 kabla ya Cristiano Ronaldo kufunga bao la usiku na kurejesha matumaini kwa Real kuingia katika mzunguko wa pili.

No comments:

Post a Comment