Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, November 12, 2012

MASHINDANO YA MBIO ZA BOTI UKEREWE, YALIYODHAMINIWA NA BALIMI KATIKA PICHA

Katibu Tawala wa Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe Mariam Kaondo Mseleute (kushoto) akimkabidhi kitita cha shilingi laki saba nahodha wa timu ya Sala wanawake, Malgareth Selemani, kutoka eneo la Muruseni wilayani Ukerewe, baada ya kuibuka mabingwa kwenye mashindano ya Mitumbwi  ngazi ya mkoa baada ya wilaya hiyo kupewa hadhi ya Mkoa kwa mashindano hayo ambapo washiriki walishindana kuendesha mitumbwi kwa makasia

Nahodha wa timu ya wanawake ya Sala kutoka eneo la Muruseni Ukerewe Malgareth Selemani akionyesha laki saba za ubingwa


 Nahodha wa timu iliyoshika nafasi ya kwanza wanaume Bandiho Ignas akionyesha laki tisa.

washindi wa pili wanaume timu ya Yatakamoyo kutoka ngoma wakifurahi baada ya kuwasili.

No comments:

Post a Comment