Ameomba Vitumike na amewiwa pia kuchukua pea pea 11 za viatu kwenye kata yake ya Ishozi ambaye ndiye Diwani . Ikumbukwe kuwa Mr. William Rutta alishaleta jezi pia kupitia kwa rafiki yake Fr. Rugumila seti ya jezi kutoka huko huko Ujerumani.
Pia Mh. Diwani huyo Amemshukuru sana Bianca Rech toka Bayern Munich alitetoa ushirikiano huo wa Kutosha .
Michezo ni Utalii
No comments:
Post a Comment