CHEKA AFUNGIWA MIAKA MIWILI NA TPBC
KAMISHENI ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), imemfungia bondia Francis Cheka kujihusisha na ngumi kwa miaka miwili pamoja na faini ya Sh 500,000 ikiwa ni siku moja tangu bondia huyo atangaze kustaafu.
MICHEZO NA BURUDANI
Copyright (c) 2012 - 2025 LENZI YA MICHEZO All Right Reserved
Designed by Gadiola Emanuel - 0784 643 633
Post a Comment