![](https://sites.duke.edu/wcwp/files/2015/03/FIFA-171214.jpg.png)
Mwezi Januari Mwaka huu Tanzania ilikuwa ya 126 na kupanda hadi 125 Mwezi Februari, kushuka 130 Aprili na kuyumba lakini Julai ikawa ya 123 na baada ya hapo mporomoko ukafuatia.
Kwa Bara la Afrika, Timu inayoshika Nafasi ya juu kabisa ni Senegal ambao ni wa 33 wakifuata Mabingwa wa Afrika Ivory Coast walio Nafasi ya 34 kisha Tunisia 35, Egypt 36 na Algeria 38.
10 BORA:
1. Argentina
2. Brazil
3. Germany
4. Chile
5. Belgium
6. Colombia
7. France
8. Portugal
9. Uruguay
10. Spain
No comments:
Post a Comment