Carrick, mwenye Miaka 34, alisaini kuichezea Man United kwa mara ya kwanza Julai 2006 na tangu wakati huo amemudu kuisaidia Klabu kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu England mara 5, FA CUP, Kombe la Ligi, Kombe la Klabu Bingwa na Ubingwa wa UEFA CHAMPIONS LIGI.
Tuesday, June 14, 2016
MICHAEL CARRICK AONGEZA MKATABA MAN UNITED, MOURINHOAMMIMINIA SIFA
Carrick, mwenye Miaka 34, alisaini kuichezea Man United kwa mara ya kwanza Julai 2006 na tangu wakati huo amemudu kuisaidia Klabu kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu England mara 5, FA CUP, Kombe la Ligi, Kombe la Klabu Bingwa na Ubingwa wa UEFA CHAMPIONS LIGI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment