Katika Dakika za Nyongeza 30, Barca walipachika Bao zao za ushindi kwenye Dakika za 97 na 122 kupitia Jordi Alba na Neymar.
Hii ilikuwa ni Fainali ya 37 ya Copa del Rey kwa Barca, wakipitwa tu na Real Madrid waliocheza 39, na kati ya hizo 37 Barca wameshinda 28.
Timu hizi zitakutana tena mwanzoni mwa Msimu ujao kugombea Supercopa de España kwa vile Barcelona ndio Mabingwa wa La Liga kwa Msimu wa 2015/16.
No comments:
Post a Comment